EP 01: Mitandao ya Kijamii Imekaaje Kibiashara kwa Mwaka Huu? Nini kipya kwa Vijana? Swahili Podcast

EP 01: Mitandao ya Kijamii Imekaaje Kibiashara kwa Mwaka Huu? Nini kipya kwa Vijana? Swahili Podcast

Kwa mwaka huu kuna watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii wameongezeka, na watu wengi wanafikiria kufanya biashara zao na kuzikuza kutokana na uwepo wa mitandao hii. Je kwa vijana ni nini ambacho tunapaswa kutegemea mwaka huu? Facebook, Twitter, n.k wanategemea kuleta features/vitu gani vipya kwa kukuza mitandao yao? Fuatilia hii katika Episode hii na utaona kuna mengi ambayo yametokea na kutazama mipango mbalimbali ambapo inaweza kukusaidia wewe kijana. Karibu sana. Usisahau ku-subscribe our best poooooodcast!!!!!!11

Tämä jakso on lisätty Podme-palveluun avoimen RSS-syötteen kautta eikä se ole Podmen omaa tuotantoa. Siksi jakso saattaa sisältää mainontaa.

Jaksot(11)

Suosittua kategoriassa Yhteiskunta

olipa-kerran-otsikko
seitseman
siita-on-vaikea-puhua
i-dont-like-mondays
sita
poks
antin-palautepalvelu
kaksi-aitia
mamma-mia
hupiklubi
gogin-ja-janin-maailmanhistoria
yopuolen-tarinoita-2
ihme-ja-kumma
kolme-kaannekohtaa
rss-palmujen-varjoissa
mystista
meidan-pitais-puhua
uutiscast
loukussa
aikalisa