EP 01: Mitandao ya Kijamii Imekaaje Kibiashara kwa Mwaka Huu? Nini kipya kwa Vijana? Swahili Podcast

EP 01: Mitandao ya Kijamii Imekaaje Kibiashara kwa Mwaka Huu? Nini kipya kwa Vijana? Swahili Podcast

Kwa mwaka huu kuna watumiaji wengi wa mitandao ya kijamii wameongezeka, na watu wengi wanafikiria kufanya biashara zao na kuzikuza kutokana na uwepo wa mitandao hii. Je kwa vijana ni nini ambacho tunapaswa kutegemea mwaka huu? Facebook, Twitter, n.k wanategemea kuleta features/vitu gani vipya kwa kukuza mitandao yao? Fuatilia hii katika Episode hii na utaona kuna mengi ambayo yametokea na kutazama mipango mbalimbali ambapo inaweza kukusaidia wewe kijana. Karibu sana. Usisahau ku-subscribe our best poooooodcast!!!!!!11

Det här avsnittet är hämtat från ett öppet RSS-flöde och publiceras inte av Podme. Det kan innehålla reklam.

Avsnitt(11)

Populärt inom Samhälle & Kultur

podme-dokumentar
gynning-berg
p3-dokumentar
svenska-fall
en-mork-historia
tv4-nyheterna-story
creepypodden-med-jack-werner
aftonbladet-krim
badfluence
mardromsgasten
killradet
flashback-forever
hor-har
aftonbladet-daily
kod-katastrof
rss-mer-an-bara-morsa
de-fyras-gang
historiska-brott
rss-sanning-konsekvens
spar