Ep 52 - I still want to be a father
Men The Podcast26 Maj 2022

Ep 52 - I still want to be a father

Mahusiano huisha, na mara nyingine pia ndoa huvunjika. Si vitu ambavyo tunafurahia vikitokea ila uhalisia wa maisha ndivyo ulivyo. Swali ni pale tu, vipi ndoa ikivunjika wakati tayari kuna mtoto ambaye ni zao la ndoa hiyo ni nini kifanyike ili wazazi wote wawili waweza kuwa na haki sawa juu ya mtoto au watoto wao?


Michael na Nadia wameketi pamoja na J (si jina lake halisi) wakijadili namna mwisho wa mahusiano ya ndoa yake kulivyokua chanzo cha yeye kutopata nafasi ya kuwa baba kwa namna ambayo angependa kuwa baba kwa mtoto wake


J anawakilisha wanaume wengine kwenye mazungumzo haya, ambao kwa namna moja au nyingine wangependa kuhusika kwenye maisha ya watoto wao, ila kutokana na namna mahusiano yao na wenzi wao au namna yalivyo au yalivyoisha imekua ngumu kwao kupata nafasi hii. Swali ni, tufanye nini ili hata kama mahusiano yanaisha, bado mwanaume anapata nafasi ya kuwa baba na kuhusika kwenye maisha ya mtoto wake?


Karibu kusikiliza mazungumzo haya

Det här avsnittet är hämtat från ett öppet RSS-flöde och publiceras inte av Podme. Det kan innehålla reklam.

Avsnitt(116)

Nikki ni Good Boy

Nikki ni Good Boy

Most people know Nikki wa Pili as a rapper, entrepreneur, family man, and now a District Commissioner. But behind the titles, achievements, and public image is a man whose journey began not with a dre...

19 Juni 1h 40min

Jifunze Kutulia

Jifunze Kutulia

Meet Black X,  one of Tanzania’s most celebrated music video directors, a man whose confidence is as bold as his creativity, and someone who genuinely believes he is the GOAT of his craft.But before t...

3 Juni 1h 32min

Ardhi: Uwekezaji wa kweli au peer pressure tu?

Ardhi: Uwekezaji wa kweli au peer pressure tu?

In this episode, we sit down with Emilian Rwejuna, Managing Director of Viwanja Tanzania, to unpack one of the biggest silent pressures facing men today. Owning land.From “kila mwanaume lazima awe na ...

8 Maj 1h 9min

Ardhi: Uwekezaji wa kweli au peer pressure tu?

Ardhi: Uwekezaji wa kweli au peer pressure tu?

In this episode, we sit down with Emilian Rwejuna, Managing Director of Viwanja Tanzania, to unpack one of the biggest silent pressures facing men today. Owning land.From “kila mwanaume lazima awe na ...

6 Maj 1h 9min

Maisha Siyo Nukta, Ni Koma.

Maisha Siyo Nukta, Ni Koma.

Life is not a full stop. It’s a comma.But for many men, it doesn’t always feel that way.In this episode of Men Men Men, we sit down with Sebastian Mwaikambo for a deep and honest conversation about ma...

14 Apr 1h 47min

FGM Itaisha Wanaume Wakiamua

FGM Itaisha Wanaume Wakiamua

In this powerful live episode of Men Men Men, recorded in Monduli before an audience of over 200 people, we confront one of the most sensitive and deeply rooted issues in our communities: Female Genit...

18 Mars 47min

Uwanaume Wa Kweli Ni Maamuzi

Uwanaume Wa Kweli Ni Maamuzi

In this special live edition of Men Men Men – The Podcast, hosted by Michael Baruti and Nadia Ahmed, a powerful community conversation unfolds from Mnazi Mmoja Grounds in Zanzibar, bringing together h...

17 Feb 47min

Ni Majaribu Tu, Maisha Lazima Yaendelee

Ni Majaribu Tu, Maisha Lazima Yaendelee

Life works in strange ways. Sometimes adversity doesn’t just test us, it completely reshapes how we see ourselves, our purpose, and what’s possible.In this episode, we sit down with Hussein Ally Husse...

3 Feb 1h 42min

Populärt inom Hälsa

somna-med-henrik
rss-bara-en-till-om-missbruk-medberoende-2
rss-vuxna-pa-latsas
sova-med-dan-horning
rss-viktmedicinpodden
sexnoveller-deluxe
not-fanny-anymore
angestpodden
johannes-hansen-podcast
inga-beiga-morsor
sa-in-i-sjalen
rss-basta-livet
rss-the-house-podcast-3
rss-traningsklubben
sex-pa-riktigt-med-marika-smith
tyngre-traningssnack
halsoveckan-by-tyngre
rss-the-house-podcast-4
brottarbroder
hacka-livet