Tanzania Adapts:Namna mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyoleta athari ya upatikanaji wa maji Tanzania
Tanzania Adapts19 Jan 2023

Tanzania Adapts:Namna mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyoleta athari ya upatikanaji wa maji Tanzania

Kwenye episode hii nimezungumza na Prof. Alex Kisingo ambaye ni Profesor mshiriki kutoka Chuo cha usimamizi wa wanyamapori mweka Tanzania tukijadili juu ya hii changamoto ya upatikanaji wa maji na namna mabadiliko ya tabia ya nchi yanavyochangia na kuathiri upatikanaji wa maji Tanzania. Tulifanya mazungumzo haya kwa njia ya simu akitokea Moshi Tanzania na mimi nikiwa Dar es salaam.


In this episode we discuss how climate change affects access to water in Tanzania. Marygoreth Richard sits with Professor Alex Kisingo, an associate professor from the College of African Wildlife Management (CAWM), Mweka. We conducted a phone interview to discuss this topic as we are currently experiencing water scarcity in many parts of Tanzania.


Tanzania Adapts is a Kiswahili language podcast created by BBC Media Action in Tanzania. It is produced and presented by Marygoreth Richard. Tanzania Adapts is supported by Irish Aid and the Embassy of Belgium in Tanzania.



Learn more on YouTube: https://www.youtube.com/@tanzaniaadapts9082

Hosted on Acast. See acast.com/privacy for more information.

Denne episoden er hentet fra en åpen RSS-feed og er ikke publisert av Podme. Den kan derfor inneholde annonser.

Episoder(18)

Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.

Tanzania Adapts: Ukweli mchungu kuhusu mabadiliko ya tabia ya nchi.

In this Episode Marygoreth Richard seats with Prof. Dr. Aidan Msafiri (PhD), A University lecturer, UN climate change Ambassador for Tanzania and a Founder and Managing Director of Kilimanjaro Consort...

21 Jun 202325min

Tanzania Adapts: Haki za binadamu na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Tanzania Adapts: Haki za binadamu na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Kwenye episode hii ya 17 Tanzania Adapts Podcast - Marygoreth Richard amekaa meza moja kuzungumza na Felister Mahuya kutoka Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kujadili namna mabadiliko ya tab...

26 Mai 202323min

Tanzania Adapts: Part 2 - Ubunifu matofali yanayotokana na taka za Plastiki

Tanzania Adapts: Part 2 - Ubunifu matofali yanayotokana na taka za Plastiki

“Nilijifunza kupitia mtandao kuanzia nyumbani kwa kutumia sufuria na familia yangu waliona napoteza muda kwa ninachofanya lakini nilisema hapana kwakuwa nimesoma mtandaoni kuwa Plastic ina fursa kubwa...

11 Mai 202315min

Tanzania Adapts: Part 1 - Ubunifu matofali yanayotokana na taka za Plastiki

Tanzania Adapts: Part 1 - Ubunifu matofali yanayotokana na taka za Plastiki

“Nilijifunza kupitia mtandao kuanzia nyumbani kwa kutumia sufuria na familia yangu waliona napoteza muda kwa ninachofanya lakini nilisema hapana kwakuwa nimesoma mtandaoni kuwa Plastic ina fursa kubwa...

28 Apr 202327min

Tanzania Adapts: Ubunifu nishati safi kukabiliana mabadiliko ya tabianchi.

Tanzania Adapts: Ubunifu nishati safi kukabiliana mabadiliko ya tabianchi.

Alizaliwa kijijini Iringa kwenye changamoto ya umeme, Gibson Kawago kijana mbunifu kutoka Tanzania mwanzilishi wa kampuni ya WAGA inayofanya ubunifu wa kurejelesha betri zilizokufa za Kompyuta mpakato...

14 Apr 202321min

Tanzania Adapts: Suluhisho mabadiliko ya tabia ya nchi.

Tanzania Adapts: Suluhisho mabadiliko ya tabia ya nchi.

Kwenye Episode hii Marygoreth Richard amezungumza na Mkurugenzi Mkazi wa shirika la WWF kwa Tanzania Dr. Amani Ngusaru kujadili changamoto za mabadiliko ya tabia ya nchi na suluhisho mbalimbali za kit...

29 Mar 202320min

Tanzania Adapts: Upandaji miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Tanzania Adapts: Upandaji miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

Kwenye episode hii nimezungumza na Mkuu wa Wilaya ya Hanang mkoani Manyara Bi. Janeth Mayanja tukijadili juu ya upandaji miti kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi ambapo katika wilaya yake anaha...

8 Mar 202315min

Tanzania Adapts:Kukabiliana na ukatili unaosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Tanzania Adapts:Kukabiliana na ukatili unaosababishwa na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Leo kwenye Podcast hii Marygoreth Richard anazungumza na Bi. Rose Mnjilo ambaye ni Mkurugenzi wa shirika lisilo la kiserikali linaloshughulikia masuala ya ukatili wa kijinsia dhidi ya wanawake na Wato...

17 Feb 202328min

Populært innen Fakta

fastlegen
dine-penger-pengeradet
relasjonspodden-med-dora-thorhallsdottir-kjersti-idem
foreldreradet
treningspodden
jakt-og-fiskepodden
mikkels-paskenotter
rss-strid-de-norske-borgerkrigene
rss-kunsten-a-leve
sinnsyn
hverdagspsyken
gravid-uke-for-uke
fryktlos
ryddepodden
rss-var-forste-kaffe
rss-sarbar-med-lotte-erik
tomprat-med-gunnar-tjomlid
babyverden
lederskap-nhhs-podkast-om-ledelse
rss-impressions-2